LyricFind Logo
LyricFind Logo
Profile image icon
Lyric cover art

Tumetoboa

Apple Music logo
Deezer logo
Spotify logo
Lyrics
Mh!!!
Si wanapenda Kubang
(Kumaanisha nini ? )
Eeh! Eeh! Eeh! Eeh!


Let’s go
Tumevuka pasi na mashaka
Tumesimama coz tulishakaa
(for the name )
Kwa jina la Baba eeh!!
(kwa jina la Baba )
Mikiki mikiki kuluka ka
weka uku weka hapa ( coz )
Kwa jina la Baba
for the name
(kwa jina la Baba )


Coz walisema
wakasema
hatutoboa mwezi siku wala masaa
Nasi tukasema
Tukasema
Tunaye mwenyezi jembe baba la baba
Ona sasa


Tumetoboa!!! Tumetoboa !!! Tumetoboa !!!Tumetoboa !!!
Tumetoboa !!! Tumetoboa !!!Tumetoboa !!! tobo
Tumetoboa!!! Tumetoboa !!! Tumetoboa !!!Tumetoboa !!!
Tumetoboa !!! Tumetoboa !!!Tumetoboa !!! tobo


Oya hallelujah (Ameen !! )
Tushalipa kodi
Waliomba tulale na njaa
Wakaamka tumeshiba
Coz tuna MUNGU sio mwanadam
Tukimuamini yeye hawezi kutuacha


Coz walisema (sema…!!! )
wakasema
hatutoboa mwezi siku wala masaa
Nasi tukasema
Tukasema
Tunaye mwenyezi jembe baba la baba
Tumevuka pasi na mashaka
Tumesimama coz tulishakaa
Kwa jina la Baba eeh!!
(kwa jina la Baba )
Mikiki mikiki kuluka ka
weka uku weka hapa coz
Kwa jina la Baba
(kwa jina la Baba


Tumetoboa!!! Tumetoboa !!! Tumetoboa !!!Tumetoboa !!!
Tumetoboa !!! Tumetoboa !!!Tumetoboa !!! tobo
Tumetoboa!!! Tumetoboa !!! Tumetoboa !!!Tumetoboa !!!
Tumetoboa !!! Tumetoboa !!!Tumetoboa !!! tobo

Autro
Eeh! Eeh! Eeh! Eeh! Eeh! Eeh!

WRITERS

Twarha Kanengo, Mwarami kajonje, Chiby

PUBLISHERS

Lyrics © Sentric Music

Share icon and text

Share


See A Problem With Something?

Lyrics

Other