Sasa naapa Hakuna miungu ntaamini
Satajitia unajisi , Chakula cha ufalme
Na Sitauza urithi wa wokovu,
NiNa uhakika waweza , waweza kuniponya,
Hata usipo niponya Sitaabudu Masanamu
Naelewa maji na moto nitapita
Nina wewe sitaogopa kamwe
Mungu wangu wanishika mkono
Si na mashaka wanibeba mgongoni
Waweza tuma neno la uzima,
Hata usiyafanye hayo yoote
Ni na ushuhuda zaidi ya moja
We ni chemchemi ya uzima.
Nitaamini, bado nitaamini
Hata usiniponye bado nitaamini
Hata usinijibu bado nitaamini
Hata usibadilishe bado nitaamini
Kwenye uvuli wa mauti bado nitaamini
Nina ushuhuda, wewe ni mwaminifu