LyricFind Logo
LyricFind Logo
Profile image icon
Lyric cover art

Nita Amini

Live
Apple Music logo
Deezer logo
Spotify logo
Lyrics
Nita Amini

Verse :
Sasa naapa Hakuna miungu ntaamini
Satajitia unajisi , Chakula cha ufalme
Na Sitauza urithi wa wokovu,
anasa za Kisasa
NiNa uhakika waweza , waweza kuniponya,
Hata usipo niponya Sitaabudu Masanamu

Chorus :
Naelewa maji na moto nitapita
Kwenye uvuli wa mauti
Nina wewe sitaogopa kamwe
Mungu wangu wanishika mkono
Wautuliza moyo wangu,
Si na mashaka wanibeba mgongoni
Waweza tuma neno la uzima,
libadishe yote
Hata usiyafanye hayo yoote
Bado nitaamini

Verse :
Si Mara y’a kwanza
wanitowa katika magumu
Ni na ushuhuda zaidi ya moja
We ni mwaminifu
Ni na historia maalum
We ni chemchemi ya uzima.

Outro :
Nitaamini, bado nitaamini

Ukiniponya nitaamini
Hata usiniponye bado nitaamini

Ukinijibu nitaamini
Hata usinijibu bado nitaamini

Ukibadilisha nitaamini
Hata usibadilishe bado nitaamini

Kwenye uvuli wa mauti bado nitaamini
Nina ushuhuda, wewe ni mwaminifu

WRITERS

Israel Mbonyicyambu

PUBLISHERS

Lyrics © O/B/O DistroKid

Share icon and text

Share


See A Problem With Something?

Lyrics

Other