Macho pembeni nisikupe pesa
Ukaniumbua oh nah nah nah
Ila la kwangu ndo limepwaya
Umenitoroka nyuma ya idhaya
Ni wewe japo nilikudhamini
Leo penzi umeliweka vikwanzo
Wandoto uliyekuwa ni wewe
Na kichwa umekiachia mawazo
Kweli usiku wa giza usilolijua
Sikuwaza, sikudhania kuwa utanibagua
Sa unafikiri nani wa kupika pakua
Kishida kijiba cha roho mwenzako naugua
Haya no commando siwezi jipindua
Nawe ndo dereva umezamisha mashua
Mi nina uzoefu wa kufunga goal
Yaani siamini yes umegeuza no
Na kwako mi mtoto nahitaji nyonya
Wandoto wandoto (Ni wewe)
Leo penzi umeliweka vikwanzo